sw_jhn_text_reg/12/23.txt

1 line
214 B
Plaintext

\v 23 Yesu akawajibu akasema, "Saa imefika kwa Mwana wa Adamu kutukuzwa. \v 24 Amini, amini, nawaambia, chembe ya ngano isipoanguka katika nchi ikafa, hukaa hali iyo hiyo peke yake; bali ikifa, itazaa mazao mengi.