sw_jhn_text_reg/10/25.txt

1 line
190 B
Plaintext

\v 25 Yesu akawajibu, "Nimekwisha waambia lakini hamuamini. Kazi nizifanyazo kwa jina la Baba yangu, hizo zinashuhudia juu yangu. \v 26 Hata hivyo hamuamini kwa sababu ninyi si kondoo wangu.