sw_jhn_text_reg/09/28.txt

1 line
176 B
Plaintext

\v 28 Walimtukana na kusema, "Wewe ni mwanafunzi wake, lakini sisi ni wanafunzi wa Musa. \v 29 Tunajua kwamba Mungu alinena na Musa, lakini kwa huyu mtu, hatujui kule atokako."