sw_jhn_text_reg/08/48.txt

1 line
172 B
Plaintext

\v 48 Wayahudi wakamjibu na kumwambia, hatujasema kweli kuwa wewe ni Msamaria na una pepo?" \v 49 Yesu akajibu, sina pepo; lakini namheshimu Baba yangu, nanyi hamniheshimu.