sw_jhn_text_reg/08/25.txt

1 line
330 B
Plaintext

\v 25 Kwa hiyo wakamwambia, "Wewe ni nani?" Yesu akawaambia, Yale niliyowaambia tangu mwanzo. \v 26 Ninayo mambo mengi ya kuzungumza na kuhukumu juu yenu. Hata hivyo, yeye aliyenituma ni wa kweli; na mambo niliyoyasikia kutoka kwake, mambo haya nayasema kwa Ulimwengu." \v 27 Hawakumuelewa kwamba alikuwa akiongea nao kuhusu Baba.