sw_jhn_text_reg/07/05.txt

1 line
257 B
Plaintext

\v 5 Maana ndugu zake pia hawakumwamini. \v 6 Ndipo Yesu alipowaambia, "Wakati wangu haujafika bado, lakini wakati wenu kila mara uko tayari. \v 7 Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi, bali unanichukia mimi kwa sababu ninaushuhudia kuwa matendo yake ni maovu.