sw_jhn_text_reg/06/30.txt

1 line
211 B
Plaintext

\v 30 Basi wakamwambia, "Ni ishara zipi utakazofanya, kwamba tunaweza kuziona na kukuamini? Utafanya nini? \v 31 Baba zetu walikula manna jangwani, kama ilivyo andikwa, "Aliwapa mikate kutoka mbinguni ili wale."