sw_jhn_text_reg/04/31.txt

1 line
227 B
Plaintext

\v 31 Wakati huohuo wanafunzi wake walimsihi wakisema, "Rabi kula chakula." \v 32 lakini yeye aliwambia, "Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi." \v 33 Wanafunzi wakaambiana, hakuna aliyemletea kitu chochotekula,"Je walileta?"