\v 31 Wakati huohuo wanafunzi wake walimsihi wakisema, "Rabi kula chakula." \v 32 lakini yeye aliwambia, "Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi." \v 33 Wanafunzi wakaambiana, hakuna aliyemletea kitu chochotekula,"Je walileta?"