sw_jhn_text_reg/04/19.txt

1 line
195 B
Plaintext

\v 19 Yule mwanamke akamwambia, "Bwana naona yakuwa wewe ni nabii. \v 20 Baba zetu waliabudu katika mlima huu. Lakini ninyi mwasema ya kuwa Yerusalemu ndiyo sehemu ambayo watu wanapaswa kuabudu."