sw_jhn_text_reg/02/01.txt

1 line
158 B
Plaintext

\v 1 Baada ya siku tatu, kulikuwa na arusi huko Kana ya Galilaya na mama yake Yesu alikuwa huko. \v 2 Yesu na wanafunzi wake walikuwa wamealikwa katika arusi.