sw_jhn_text_reg/01/24.txt

1 line
164 B
Plaintext

\v 24 Basi kulikuwa na watu wametumwa pale kutoka kwa Mafarisayo. Wakamuuliza na kusema, \v 25 "Kwa nini unabatiza basi kama wewe sio Kristo wala Eliya wala nabii?"