sw_jhn_text_reg/01/24.txt

1 line
164 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 24 Basi kulikuwa na watu wametumwa pale kutoka kwa Mafarisayo. Wakamuuliza na kusema, \v 25 "Kwa nini unabatiza basi kama wewe sio Kristo wala Eliya wala nabii?"