1 line
237 B
Plaintext
1 line
237 B
Plaintext
|
\v 6 Palikuwa na mtu aliyetumwa kutoka kwa Mungu jina lake Yohana \v 7 Alikuja kama shahidi kushuhudia kuhusu ile nuru, ili kwamba wote waweze kuamini kupitia yeye. \v 8 Yohana hakuwa ile nuru, bali alikuja ili ashuhudie kuhusu ile nuru.
|