sw_jhn_text_reg/21/10.txt

1 line
218 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 10 Yesu akawambia, "Leteni baadhi ya samaki mliovua sasa hivi." \v 11 Basi Simon Petro akapanda na kuukokota ule wavu uliokuwa umejaa samaki wakubwa, kiasi cha samaki 153; japo walikuwa wengi, ule wavu haukuchanika.