sw_jhn_text_reg/19/36.txt

1 line
178 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 36 Mambo haya yalikuwa ili lile neno lililonenwa lipate kutimia, "Hakuna hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa." \v 37 Tena andiko lingine husema, "Watamtazama yeye waliyemchoma"