1 line
226 B
Plaintext
1 line
226 B
Plaintext
|
\v 34 Yesu aliwajibu, "Amini, amini, nawaambia, kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi. \v 35 Mtumwa hakai nyumbani wakati wote; mwana hudumu siku zote. \v 36 Kwa hiyo, ikiwa Mwana atawaweka huru, kabisa mtakuwa huru kweli."
|