sw_jhn_text_reg/06/19.txt

1 line
325 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 19 Tena wanafunzi wake walipokuwa wamepiga makasia kama ishirini na matano au thelathini, wakamwona Yesu akitembea juu ya bahari kuukaribia mtumbwi, na wakaogopa. \v 20 Lakini akawambia, "Ni mimi! Msiogope." \v 21 Tena walikuwa tayari kumbeba kwenye mtumbwi, na mara mtumbwi ulifika kwenye nchi mahali walipokuwa wakienda.