sw_jhn_text_reg/05/24.txt

1 line
168 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 24 Amini, amini, yeye asikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenituma anao uzima wa milele na hatahukumiwa. Badala yake, amepita kutoka mautini na kuingia uzimani.