sw_jhn_text_reg/04/37.txt

1 line
190 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 37 Kwa kuwa msemo huu ni wa kweli, 'Mmoja apanda na mwingine avuna.' \v 38 Niliwatuma kuvuna ambacho hamkukihangaikia, Wengine wamefanya kazi na ninyi mmeingia katika furaha ya kazi yao."