sw_jer_text_reg/01/11.txt

1 line
189 B
Plaintext

\v 11 Neno la BWANA lilinijia, likisema, "Yeremia, unaona nini?" Nikasema, "Ninaona tawi la mlozi." \v 12 BWANA akaniambia, "umeona vyema, kwa kuwa ninaliangalia neno langu ili nilitimize."