sw_jer_text_reg/01/11.txt

1 line
189 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 11 Neno la BWANA lilinijia, likisema, "Yeremia, unaona nini?" Nikasema, "Ninaona tawi la mlozi." \v 12 BWANA akaniambia, "umeona vyema, kwa kuwa ninaliangalia neno langu ili nilitimize."