sw_jer_text_reg/48/03.txt

6 lines
599 B
Plaintext

<<<<<<< HEAD
\v 3 Sikilizeni! Sauti ya kilio kikuu inakuja kutoka Horonaimu, ambako kuna maafa na maangamizi makuu. \v 4 Moabu ameangamizwa. Watoto wake wamesikika kwa sauti za vilio vyao. \v 5 Wanapanda kilima cha Luhithi wakilia, kwani njia yote kuteremkia Horonaimu, vilio vinasikika kutokana na maangamizi.
=======
\v 3 Sikilizeni! Sauti ya mvumo inakuja kutoka Horonaimu. \v 4 Moabu ameangamizwa. Vilio vya watoto wake vinasikika. \v 5 Wanapanda kilima cha Luhithi wakilia, njia yote kuelekea Horonaimu, vilio vinasikika kutokana na maangamizi.
>>>>>>> a69b3592141fa67a42997a06406ea518eef6a113