Mon Aug 15 2022 12:46:46 GMT+0300 (East Africa Time)

This commit is contained in:
tsDesktop 2022-08-15 12:46:47 +03:00
parent 7f221b132e
commit 01403c1307
1 changed files with 1 additions and 1 deletions

View File

@ -1 +1 @@
\v 5 Kwa hiyo Yeremia nabii akasema kwa Hanania nabii mbele ya makuhani na kwa watu wote waliosimama katika nyumba ya Yahwe. \v 6 Yeremia nabii akasema, "na iwe hivi! Yahwe ayathibitishe maneno ambayao ulitabiri na kuvirudisha katika sehemsu hii vyombo vya nyumb a ya Yahwe, na mateka wote kutoka Babeli. \v 7 Vile vile, sikilizeni neno ambaloo ninalitangaza katika masikio yenu na katika masikio ya watu wote.
\v 5 Kwa hiyo Yeremia nabii akasema kwa Hanania nabii mbele ya makuhani na kwa watu wote waliosimama katika nyumba ya Yahwe. \v 6 Yeremia nabii akasema, "na iwe hivi! Yahwe ayathibitishe maneno ambayo ulitabiri na kuvirudisha katika sehemu hii vyombo vya nyumba ya Yahwe, na mateka wote kutoka Babeli. \v 7 Vile vile, sikilizeni neno ambalo ninalitangaza katika masikio yenu na katika masikio ya watu wote.