diff --git a/28/05.txt b/28/05.txt index 570bf6b..58448f3 100644 --- a/28/05.txt +++ b/28/05.txt @@ -1 +1 @@ -\v 5 Kwa hiyo Yeremia nabii akasema kwa Hanania nabii mbele ya makuhani na kwa watu wote waliosimama katika nyumba ya Yahwe. \v 6 Yeremia nabii akasema, "na iwe hivi! Yahwe ayathibitishe maneno ambayao ulitabiri na kuvirudisha katika sehemsu hii vyombo vya nyumb a ya Yahwe, na mateka wote kutoka Babeli. \v 7 Vile vile, sikilizeni neno ambaloo ninalitangaza katika masikio yenu na katika masikio ya watu wote. \ No newline at end of file +\v 5 Kwa hiyo Yeremia nabii akasema kwa Hanania nabii mbele ya makuhani na kwa watu wote waliosimama katika nyumba ya Yahwe. \v 6 Yeremia nabii akasema, "na iwe hivi! Yahwe ayathibitishe maneno ambayo ulitabiri na kuvirudisha katika sehemu hii vyombo vya nyumba ya Yahwe, na mateka wote kutoka Babeli. \v 7 Vile vile, sikilizeni neno ambalo ninalitangaza katika masikio yenu na katika masikio ya watu wote. \ No newline at end of file