Thu Nov 03 2022 14:16:22 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
9b21ad0a68
commit
639c255145
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 11 Idadi ya wale waliouawa siku hiyo katika mji wa Shushani, ilifikishwa kwa Mfalme Ahusiero. \v 12 Mfalme akamwambia malkia Esta. Mfalme akamwambia Malkia Esta, "Wayahudi wameua wanaume mia tano katika mji wa Shushani, wakiwemo wana kumi wa Hamani adui wa Wayahudi. Je wamefanya nini katika majimbo mengine? Na sasa haja yako ni nini? Utapewa. Ombi lako ni nini?"
|
||||
\v 11 Idadi ya wale waliouawa siku hiyo katika mji wa Shushani, ilifikishwa kwa Mfalme Ahusiero. \v 12 Mfalme akamwambia Malkia Esta, "Wayahudi wameua wanaume mia tano katika mji wa Shushani, wakiwemo wana kumi wa Hamani adui wa Wayahudi. Je wamefanya nini katika majimbo mengine? Na sasa haja yako ni nini? Utapewa. Ombi lako ni nini?"
|
|
@ -1 +1 @@
|
|||
\v 15 Wayahudi katika mji wa Shushani walisanyika pamoja siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari, na kuwaua maadui zao mia tatu katika mji wa Shushani, lakini hawakugusa nyara zao. \v 16 Na Wayahudi katika majimbo mengine wakakusanyika ili kujilinda na wakapata faraja kutoka kwa maadui na wakawaua maadui zao elfu sabini na tano, lakini hawakugusa mikono yao kwa vitu vya thamani wale waliouwawa.
|
||||
\v 15 Wayahudi katika mji wa Shushani walisanyika pamoja siku ya kumi na nne ya mwezi wa Adari, na kuwaua maadui zao mia tatu katika mji wa Shushani, lakini hawakugusa nyara zao. \v 16 Na Wayahudi katika majimbo mengine wakakusanyika ili kujilinda na wakapata faraja kutoka kwa maadui,na wakawaua maadui zao elfu sabini na tano, lakini hawakugusa mikono yao kwa vitu vya thamani wale waliouwawa.
|
|
@ -100,6 +100,8 @@
|
|||
"08-15",
|
||||
"09-01",
|
||||
"09-03",
|
||||
"09-06"
|
||||
"09-06",
|
||||
"09-11",
|
||||
"09-13"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue