sw_ecc_text_reg/07/21.txt

1 line
182 B
Plaintext

\v 21 Usisikilize kila neno linaongelewa, kwa sababu unaweza kusikia mtumishi wako anakulaani. \v 22 Vivyo hivyo unafahamu mwenyewe ndani ya moyo wako umewalaani wengine mara kadhaa.