sw_ecc_text_reg/07/21.txt

1 line
182 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 21 Usisikilize kila neno linaongelewa, kwa sababu unaweza kusikia mtumishi wako anakulaani. \v 22 Vivyo hivyo unafahamu mwenyewe ndani ya moyo wako umewalaani wengine mara kadhaa.