sw_deu_text_reg/19/11.txt

1 line
444 B
Plaintext

\v 11 Lakini kama yeyote anamchukia jirani yake, uongo unamsubiri, uinuka dhidi yake, na majeraha ya kufa kwake ili kwamba anakufa, na kama basi anakimbia katika moja ya miji hii- \v 12 basi wazee wa mji wake wanapaswa kumtoa na kumrudisha toka huko, na kumkabidi katika mkono wa ndugu mhusika, ili kwamba amuue. \v 13 Jicho lako halipaswi kumuonea huruma; badala yake; unapaswa kuondoa hatia ya damu kutoka Israel, ili kwamba iwe vizuri kwako.