sw_deu_text_reg/32/36.txt

1 line
169 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 36 Kwa maana Yahwe atatoa haki kwa watu wake, na atawahurumia watumishi wake. Atahakikisha kuwa nguvu yao imetoweka, na hakuna atakayesalia, iwe watumwa au watu huru.