sw_deu_text_reg/28/22.txt

1 line
168 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 22 Yahwe atakushambulia kwa magonjwa ya kuambukiza, kwa homa, kwa uvimbe, na kwa kiangazi na jua kali, na kwa upepo mkali na ukungu. Hivi vitakufukuza hadi uangamie.