sw_deu_text_reg/12/15.txt

1 line
296 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 15 Hata hivyo, mtaweza kuua na kula wanyama ndani ya malango yenu, kama mnavyotaka, kupokea baraka ya Yahwe Mungu wenu kwa ajili ya yote amewapa; na watu wasio wasafi na wasafi wote wanaweza kula, wanyama kama vile paa na kulungu. \v 16 Lakini hamtakula damu, mtaimwaga kwenye ardhi kama maji.