Thu Jan 26 2023 16:00:32 GMT+0300 (East Africa Time)

This commit is contained in:
nicholuskombo 2023-01-26 16:00:33 +03:00
parent 353a4f04a0
commit 237685e4cc
1 changed files with 1 additions and 1 deletions

View File

@ -1 +1 @@
\v 19 Mfalme aliongea nao, na miongoni mwa kundi lote hapo hapakuwa na wa kuwalinganisha na akina Danieli, Hanania, Mishaeli, na Azaria. Walisimama mbele ya mfalme, wakiwa tayari kumtumikia. \v 20 Katika kila swali la hekima na ufahamu ambalo mfalme aliwauliza, aliwakuta wakiwa na uwezo mara kumi kuliko waganga wote na wale waliojidai kusema na wafu, waliokuwa katika ufalme wake wote. \v 21 Danieli alikuwa hapo mpaka mwaka wa kwanza wa Mfalme Koreshi.
\v 19 Mfalme aliongea nao, na miongoni mwa kundi lote hapo hapakuwa na wa kuwalinganisha na akina Danieli, Hanania, Mishaeli, na Azaria. Walisimama mbele ya mfalme, wakiwa tayari kumtumikia. \v 20 Katika kila swali la hekima na ufahamu ambalo mfalme aliwauliza, aliwakuta wakiwa na uwezo mara kumi kuliko waganga wote na wale waliojidai kusema na wafu, waliokuwa katika ufalme wake wote. \v 21 Danieli alikuwepo hapo mpaka mwaka wa kwanza wa Mfalme Koreshi.