Wed Jan 18 2023 07:41:10 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
7c07b94a68
commit
076bfbbcdc
|
@ -1 +1 @@
|
||||||
\v 7 Mfalme alitoa agizo kwa kupiga kelele, waletwe ndani wale ambao hudai wanaweza kuzungumza na wafu, watu wenye hekima, na wataalamu wa nyota. Mfalme akawaambia wale waliojulikana kwa hekima katika Babeli, "Yeyote atakayeyasoma haya maandishi na maana yake atavikwa nguo za zambarau na atavikwa na mkufu wa dhahabu shingoni mwake. Naye atakuwa mtawala wa tatu wa juu kwa mamlaka katika ufalme."
|
\v 7 Mfalme alitoa agizo kwa kupiga kelele, waletwe ndani wale ambao hudai wanaweza kuzungumza na wafu, watu wenye hekima, na wataalamu wa nyota. Mfalme akawaambia wale waliojulikana kwa hekima katika Babeli, "Yeyote atakayeyasoma haya maandishi na kunielewesha tafsiri yake atavikwa nguo za zambarau na atavikwa na mkufu wa dhahabu shingoni mwake. Naye atakuwa mtawala wa tatu wa juu kwa mamlaka katika ufalme."
|
|
@ -1 +1 @@
|
||||||
\v 8 Ndipo watu wote wa mfalme walikuwa wakijulikana kwa hekima yao waliingia ndani, lakini hawakuweza kuyasoma maandishi wala kueleza maana yake kwa mfalme. \v 9 Kisha mfalme Belshaza alishitushwa sana na mwonekano wa uso wake ulibadilika. Wakuu wake nao walishangazwa sana.
|
\v 8 Ndipo watu wote wa mfalme waliokuwa wakijulikana kwa hekima yao waliingia ndani, lakini hawakuweza kuyasoma maandishi wala kueleza maana yake kwa mfalme. \v 9 Kisha mfalme Belshaza alishitushwa sana na mwonekano wa uso wake ulibadilika. Wakuu wake nao walishangazwa sana.
|
|
@ -108,6 +108,7 @@
|
||||||
"05-title",
|
"05-title",
|
||||||
"05-01",
|
"05-01",
|
||||||
"05-03",
|
"05-03",
|
||||||
"05-05"
|
"05-05",
|
||||||
|
"05-07"
|
||||||
]
|
]
|
||||||
}
|
}
|
Loading…
Reference in New Issue