diff --git a/05/07.txt b/05/07.txt index e25c9d2..177f002 100644 --- a/05/07.txt +++ b/05/07.txt @@ -1 +1 @@ -\v 7 Mfalme alitoa agizo kwa kupiga kelele, waletwe ndani wale ambao hudai wanaweza kuzungumza na wafu, watu wenye hekima, na wataalamu wa nyota. Mfalme akawaambia wale waliojulikana kwa hekima katika Babeli, "Yeyote atakayeyasoma haya maandishi na maana yake atavikwa nguo za zambarau na atavikwa na mkufu wa dhahabu shingoni mwake. Naye atakuwa mtawala wa tatu wa juu kwa mamlaka katika ufalme." \ No newline at end of file +\v 7 Mfalme alitoa agizo kwa kupiga kelele, waletwe ndani wale ambao hudai wanaweza kuzungumza na wafu, watu wenye hekima, na wataalamu wa nyota. Mfalme akawaambia wale waliojulikana kwa hekima katika Babeli, "Yeyote atakayeyasoma haya maandishi na kunielewesha tafsiri yake atavikwa nguo za zambarau na atavikwa na mkufu wa dhahabu shingoni mwake. Naye atakuwa mtawala wa tatu wa juu kwa mamlaka katika ufalme." \ No newline at end of file diff --git a/05/08.txt b/05/08.txt index 9f82527..49a0d06 100644 --- a/05/08.txt +++ b/05/08.txt @@ -1 +1 @@ -\v 8 Ndipo watu wote wa mfalme walikuwa wakijulikana kwa hekima yao waliingia ndani, lakini hawakuweza kuyasoma maandishi wala kueleza maana yake kwa mfalme. \v 9 Kisha mfalme Belshaza alishitushwa sana na mwonekano wa uso wake ulibadilika. Wakuu wake nao walishangazwa sana. \ No newline at end of file +\v 8 Ndipo watu wote wa mfalme waliokuwa wakijulikana kwa hekima yao waliingia ndani, lakini hawakuweza kuyasoma maandishi wala kueleza maana yake kwa mfalme. \v 9 Kisha mfalme Belshaza alishitushwa sana na mwonekano wa uso wake ulibadilika. Wakuu wake nao walishangazwa sana. \ No newline at end of file diff --git a/manifest.json b/manifest.json index 58ef752..6d28595 100644 --- a/manifest.json +++ b/manifest.json @@ -108,6 +108,7 @@ "05-title", "05-01", "05-03", - "05-05" + "05-05", + "05-07" ] } \ No newline at end of file