sw_act_text_ulb/09/08.txt

1 line
191 B
Plaintext

\v 8 Sauli akainuka kutoka ardhini, na alipofungua macho yake, hakuweza kuona kitu, hivyo wakamshika mkono wakamleta mpaka Dameski. \v 9 Kwa siku tatu alikuwa haoni, naye hakula, wala kunywa.