sw_act_text_ulb/01/20.txt

1 line
177 B
Plaintext

\v 20 "Kwenye kitabu cha Zaburi imeandikwa, 'Ngoja eneo lake lifanwe kuwa mahame na asiruhusiwe hata mtu mmoja kuishi pale;' 'Acha mtu mwingine achukue nafasi yake ya uongozi.'