sw_act_text_ulb/08/34.txt

1 line
242 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 34 Hivyo towashi akamwuliza Filipo, na kusema, "Nakuomba, ni nabii yupi ambaye anaongelewa habari zake, ni kuhusu yeye, au za mtu mwingine"?. \v 35 Filipo alianza kuzungumza, na kuanzia andiko hili la Isaya alimtangazia injili kuhusu Yesu.