sw_act_text_reg/17/08.txt

1 line
191 B
Plaintext

\v 8 Umati na maofisa wa mji waliposikia mambo hayo, waliingiwa na wasiwasi. \v 9 Baada ya kuwa wamekwisha kuchukua fedha ya thamani ya ulinzi kutoka kwa Yason na wengine, waliwaachia waende.