sw_2sa_text_reg/22/22.txt

1 line
193 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 22 Kwa maana nimezishika njia za Yahwe na sijafanya uovu kwa kugeuka kutoka kwa Mungu. \v 23 Kwa kuwa maagizo yake yote ya haki yamekuwa mbele yangu; kwa kuwa sheria zake, sikujiepusha nazo.