sw_2sa_text_reg/14/23.txt

1 line
246 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 23 Hivyo Yoabu akainuka na kwenda Geshuri, akamrejesha Absalomu Yerusalemu tena. \v 24 Mfalme akasema, "Na arudi nyumbani kwake, lakini hasinione uso wangu." Hivyo Absalomu akarudi katika nyumba yake mwenyewe, na hakuweza kuuona uso wa mfalme.