1 line
241 B
Plaintext
1 line
241 B
Plaintext
|
\v 6 Yule kijana akajibu, "Kwa bahati nilikuwa juu ya Mlima Gilboa, na pale alikuwepo Sauli ameegemea mkuki wake, na magari ya farasi na waongozaji walikuwa karibu kumkamata. \v 7 Sauli alipogeuka aliniona na akaniita. Nikajibu, 'Mimi hapa.'
|