sw_2sa_text_reg/01/06.txt

1 line
241 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 6 Yule kijana akajibu, "Kwa bahati nilikuwa juu ya Mlima Gilboa, na pale alikuwepo Sauli ameegemea mkuki wake, na magari ya farasi na waongozaji walikuwa karibu kumkamata. \v 7 Sauli alipogeuka aliniona na akaniita. Nikajibu, 'Mimi hapa.'