sw_2ch_text_reg/08/12.txt

1 line
406 B
Plaintext

\v 12 Kisha Sulemani akatoa sadaka za kuteketezwa kwa Yahwe juu ya madhabahu yake ambayo alikuwa ametengeza mbele ya ukumbi. \v 13 Akatoa sadaka kama ilivyohitaka ratiba ya kila siku; akazitoa, kwa kufuata maelekezo yaliyokuwa katika amri ya Musa, katika siku za Sabato, miezi mipya, na katika siku zilizopangwa mara tatu kila mwaka: Sikukuu ya mikate isiyochachwa, sikukuu ya majuma, na sikuku ya vibanda.