sw_2ch_text_reg/04/19.txt

1 line
354 B
Plaintext

\v 19 Sulemani akazitengeza samani zote ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Mungu, pia madhabahu ya dhahabu, na meza ambazo juu yake mkate wa uwepo ulipaswa kuwekwa; \v 20 vinara pamoja na taa zake, ambazo zilitengezwa ili kumulika mbele ya chumba cha ndani—hivi vilitengenezwa kwa dhahabu halisi; \v 21 na maua, taa, na makoleo, ya dhahabu, dhahabu safi.