swc-x-swakatanga_1jn_text_reg/03/11.txt

1 line
286 B
Plaintext

\v 11 kwamana barimionesha na murishikiya kwaziya mwandjo , kusema inapasha tupendane bamoya na bingine. \v 12 na mushi mufane Kaina ,, arikuya wa mukalamushi, na ariuwa nduku yake . Et na djoyanini ariuwa ? kwamana matendo yake irikuya mubaya, na na ile ya nduku yake irikuya muzuri.