\v 11 kwamana barimionesha na murishikiya kwaziya mwandjo , kusema inapasha tupendane bamoya na bingine. \v 12 na mushi mufane Kaina ,, arikuya wa mukalamushi, na ariuwa nduku yake . Et na djoyanini ariuwa ? kwamana matendo yake irikuya mubaya, na na ile ya nduku yake irikuya muzuri.