sw_mat_text_reg/26/49.txt

1 line
196 B
Plaintext

\v 49 Mara hiyo alikuja kwa Yesu na kusema, "Salamu, Mwalimu!" Na akambusu. \v 50 Yesu akamwambia, "Rafiki, lifanye lile ambalo limekuleta." Ndipo wakaja, na kumnyooshea mikono Yesu, na kumkamata.