sw_mat_text_reg/26/49.txt

1 line
196 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 49 Mara hiyo alikuja kwa Yesu na kusema, "Salamu, Mwalimu!" Na akambusu. \v 50 Yesu akamwambia, "Rafiki, lifanye lile ambalo limekuleta." Ndipo wakaja, na kumnyooshea mikono Yesu, na kumkamata.