sw_dan_text_ulb/07/10.txt

1 line
198 B
Plaintext

\v 10 Mto wa moto ulitiririka kutoka mbele yake, na maelfu elfu ya watu walimtumikia, na wengine elfu kumi mara elfu walikuwa wamesimama mbele yake. Na mahakama iliitishwa, na vitabu vilifunguliwa.