Wed Apr 26 2023 15:38:14 GMT+0300 (East Africa Time)
This commit is contained in:
parent
88093ec842
commit
99e627a42e
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\c 2 \v 1 Katika mwaka wa pili wa utawala wa Nebukadneza, alikuwa na ndoto. Akili yake ilisumbuka, na hakuweza kulala. \v 2 Ndipo mfalme alipowaita waganga na wale wenye kuongea na wafu. Lakini pia aliwaita wachawi na watu wenye hekima. Aliwataka wamwambie juu ya ndoto zake. Basi walikuja na kusimama mbele za mfalme.
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 3 Mfalme akawambia, "Nilikuwa na ndoto, na akili yangu ina mashaka nataka kujua ndoto hiyo nini maana yake." \v 4 Kisha watu wenye hekima wakamwambia mfalme katika Kiaramu, " Mfalme, aishi milele! Twambie sisi ndoto, watumishi wako, nasi tutaifunua maana yake."
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\v 5 Mfalme akawajibu watu wenye hekima, " Jambo hili limeshamalizika. Kama hamtaweza kuiweka wazi ndoto kwangu na kuitafsiri, miili yenu itakatwa vipande vipande na nyumba zenu zitafanywa kuwa vichuguu vya uchafu. \v 6 Lakini kama mtaniambia ndoto na maana yake, mtapokea zawadi kutoka kwangu, thawabu, na heshima kubwa. Basi niambieni ndoto na maana yake."
|
|
@ -0,0 +1 @@
|
|||
\ 7 Wakamjibu tena na kusema, "Mfalme na atuambie, watumishi wake, ndoto nasi tukwambia maana yake." 8 Mfalme akawajibu, " Ninajua kwa hakika mnahitaji muda zaidi kwa sababu mmeona maamuzi yangu ni magumu kuhusu jambo hili. 9 Lakini kama hamtaweza
|
|
@ -46,6 +46,9 @@
|
|||
"01-14",
|
||||
"01-17",
|
||||
"01-19",
|
||||
"02-title"
|
||||
"02-title",
|
||||
"02-01",
|
||||
"02-03",
|
||||
"02-05"
|
||||
]
|
||||
}
|
Loading…
Reference in New Issue